Tuesday, January 13, 2015

MADONA KYUPAFOMU TUZO ZA GRAMMY

Hii ndiyo List ya kwanza ya mastaa watakao perfom kwenye tuzo za Grammy, 2015

gunSherehe ya tuzo za 57 za Grammy zinatarajia kufanyika hivi karibuni huku baadhi ya mastaa wakitajwa kuperfom katika usiku huo kwenye ukumbi wa Staples center, uliopo Los Angeles, California.
Listi ya kwanza ya wasanii watakaopanda jukwani usiku huo ni pamoja na Madonna, Ariana Grande,Ed Sheeran, Eric Church na Rock Legends.
Sherehe za tuzo hizo zitafanyika February 8, 2015
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment