Haya ndiyo maamuzi ambayo Wabunge wa Burkina faso wameamua juu ya maslahi ya wananchi wao
Uamuzi wa Wabunge hao unatokana na
kuibuka kwa malalamiko ya wananchi katika mitandao ya kijamii nchini
humo kuwa wamekua wakipokea kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya milioni nne kwa mwezi huku mfanyakazi wa kawaida akipokea dola moja na nusu.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment