Tuesday, January 13, 2015

WABUNGE WA BUKINAFASO WAFANYA UZALENDO

Haya ndiyo maamuzi ambayo Wabunge wa Burkina faso wameamua juu ya maslahi ya wananchi wao

bukWabunge wa bunge la Burkina Faso wamekubali kupunguza mishahara yao kwa asilimia hamsini.
Uamuzi wa Wabunge hao unatokana na kuibuka kwa malalamiko ya wananchi katika mitandao ya kijamii nchini humo kuwa wamekua wakipokea kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya milioni nne kwa mwezi huku mfanyakazi wa kawaida akipokea dola moja na nusu.
bukiiMshahara huo unajumuisha marupurupu ya kuhudhuria vikao vya bunge, kulipia ofisi, bima ya afya pamoja na fedha za kununua Petrol.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia,tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment