
Lakini madaktari huko UAE sasa wanasema anaugua magonjwa ya moyo pamoja na vidonda vilivyosababishwa na kulalalia kitanda kwa muda mrefu mbali na uzito wake wa kupita kiasi.
Katika majuma ya hivi majuzi ugomvi ulizuka kati ya madaktari nchini Idnia na familia yake.
Ulianza baada ya dadaake ,Shaimaa Selim kutoa kanda fupi ya video katika mitandao ya kijamii akidai kwamba dadaake alikuwa hawezi kuzungumza na hata kutembea kinyume na ilivyodaiwa na hospitali hiyo.
BBC
No comments:
Post a Comment