
Akizungumza na hisia na uchungu mwingi Roma alisema kuwa walipofikishwa walipopelekwa walipata mateso mengi kwa kupigwa hadi siku ya Ijumaa usiku.
Roma Mkatoliki: Tukatolewa tulimokuwepo siku ya ijumaa jioni tuliwa tumefungwa uso, na mikono na miguu. Tukapelekwa sehemu tukatupwa kwenye dimbwi la maji karibu na baharini Roma anasema kuwa alipata fahamu na kuweza kuwafungua wenzake na kutembea mwendo mrefu ambapo
walifika katika maeneo ya ununio.
BBC
Hatahivyo msanii huyo alishindwa kuelezea baadhi ya maswali aliyoulizwa kuhusu mahojiano na waliowateka huku akisema tu kwamba tayari wamewasilisha malalmishi yao kwa polisi kwa ucunguzi.
No comments:
Post a Comment