Raia wa mataifa 7 ya Waislamu sasa kuingia Marekani
Hatua hiyo inafuata saa tu baada ya jaji wa mahakama ya taifa ya Marekani, kuzuia amri hiyo ya Rais Trump kwa muda.
Mahakama iliamua kuwa hatua ya rais ilivunja katiba, ambayo inakataza dini moja kupendelewa kushinda nyengine.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment