Timu ya Kenya yenye wachezaji 18 imepiga kambi katika maeneo ya Kaskazini mwa Uingereza tangu wiki iliopita ikijifunza mbinu tofauti za soka ya kulipwa.
Siku ya Jumapili Hull City walicheza dhidi ya Burnley ambapo walitoka sare ya 1-1.
Kocha wa timu ya taifa ya Kenya Stanley Okumbi anasema kuwa wachezaji wa Kenya wamenufaika sana na ziara hiyo.
No comments:
Post a Comment