Saturday, August 8, 2015

TUNAJIANDAA

 Wachezaji wa timu ya Coastal Union ya Tanga, wakifanya mazoezi kujiandaa na ligi kuu ya Tanzania katika uwanja wa shule ya Popatlal leo jioni hii



 Kocha mkuu wa Coastal Union (Mganda) Jackosn Mayanja, akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi kujiandaa na ligi kuu Tanzania Bara uwanja wa shule ya Popotlal leo jioni hii



No comments:

Post a Comment