Ashtakiwa kwa kuendesha gari akiwa amesimama
Elliott mwenye umri wa miaka 26 kutoka mji wa Newcastle, ambaye ana urefu wa mita mbili alikiri kufanya makosa hayo katika mahakama ya Newcastle lakini akalaumu urefu wake.
Jaji Robert Adams alisema kuwa ni wazi kwamba Adam alitaka kuonekana akiendesha gari akiwa amesimama ili kuonyesha urefu wake.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment