Ishu ya ndoa za jinsia moja imechukua headlines tena, Ireland wameamua kupiga kura leo !!
Watu wa Ireland wanaendelea kupiga kura
leo, kama kura nyingi zikisema YES, basi Katiba ya nchi hiyo itafanyiwa
mabadiliko na ishu ya ndoa za watu wenye uhusiano wa jinsia moja
zitakuwa zimeruhusiwa rasmi kwenye nchi hiyo !!
Kuna vitu vingi vinaendelea Ulaya, Marekani
na nchi nyingine ikiwemo hii ya kuhalalisha ndoa na uhusiano wa jinsia
moja, kwa Afrika ni nchi chache zimetoa msimamo.. Uganda ni moja ya nchi
ambazo zilikataa kuhalalisha ndoa za aina hiyo.
No comments:
Post a Comment