Babu atafuta klabu mpya ya kuchezea Uingereza
Alikuwa mchezaji katika klabu ya wanajeshi wastaafu ya Wyke kabla ya klabu hiyo kuvunjwa. Hata hivyo, anakiri kwamba huenda umri umemzidi na haitamfaa kucheza kwenye ligi ya wanajeshi wastaafu tena.
ALiambia gazeti la The Mirror nchini Uingereza kwamba amepokea mwaliko wa kujiunga na klabu ya soka ya matembezi lakini amesema anataka kushiriki soka yenye kasi kiasi.
No comments:
Post a Comment