Lakini Wenger amesema kuwa Ozil kama wachezaji wengine shupavu katika timu yake amekuwa akichukua jukumu kubwa na hivyobasi hapaswi kulaumiwa sana.
Anasema kwamba tatizo la Arsenal kupoteza mechi hiyo ilikuwa kushindwa kudhibiti mchezo katikatika ya uwanja.
Wenger: Wachezaji kama Ozil wanapokosolewa wao hujibu kwa kucheza vizuri katika uwanja katika mechi inayofuata.
BBC
No comments:
Post a Comment