Chelsea yaishinda Cyrstal Palace bao 1-0
Diego Costa aliwafungia Chelsea baada ya kuapata pasi safi kutoka kwa Cezar Azpilicueta.
Hata hivyo Palace noa walipoteza fursa nzuri baada ya Jason Pucheon kupoteza free Kick.
Chelsea wamemfuta Jose Mourinho kwa mara ya pili miezi saba baada ya kuwaongoza kushinda ligi.
Chelsea ambao walimalizi nafasi ya 10 mwaka 2105 wanaongaza kwa pointi 9 waking'ang'ania kushinda taji la tano.
No comments:
Post a Comment