Malalamiko dhidi ya Wenger yamekuwa yakisikika chini kwa chini kwa miaka mingi lakini sasa malalamiko hayo yameongezeka .
Kwa mwaka huu wote , mkataba mpya bado uko mezani , huku meneja huyo mwenye umri wa miaka 67 akisema maoni ya mashabiki yatachochea uamuzi wake iwapo atasalia kama meneja.
Wenger kila mara hukoselewa na vyombo vya habari, na mashabiki wengi wamezoea kupata habari na mabadiliko na sio uthabiti wake
No comments:
Post a Comment