Katika kundi G Hispania watakipiga na Israel, Liechtenstein wao watapimana ubavu na Macedonia, waitaliano wao watakipiga na Albania.
Croatia wao watakua wenyeji wa Ukraine, huku Kosovo wakicheza na Iceland nao Finland wakiwa ugenini dhidi ya Uturuki hii ikiwa ni michezo ya kundi I
No comments:
Post a Comment