
Mabingwa watetezi wa Kombe la FA la Wanawake nchini Uingereza, Kinadada wa Arsenal, wametupwa nje ya michuano ya mwaka huu.
Hii ni baada ya kuchapwa 1-0 na kinadada wa Birmingham City katika hatua ya robo fainali.
Bao la Birmingham lilifungwa na Marisa Ewers dakika ya 77.
BBC
No comments:
Post a Comment