Saturday, July 11, 2015

KIKWETE KAATHIBITISHA MAJINA HAYA MATANO WALIOPITISHWA

Rais Kikwete kathibitisha haya majina matano ya Wagombea Urais waliopitishwa CCM


jakaya-kikwete-3
Pichaz zilianza kusambaa mitandaoni, baadae ikaja stori kuhusu Wagombea walioteuliwa kwenye Urais kupitia CCM.
Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais JK kathibitisha majina haya matano kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM Dodoma.
Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @

CCM II
Kwa habari, matukio na michezo ni hapa hapa tangakumekuchablog

No comments:

Post a Comment