Mjumbe wa halmashauri kuu ya Taifa CCM , Kassim Kisauji, akizungumza katika kikao
cha wadau wa mafuta kilichofanyika katika bohari ya uagiziaji mafuta kampuni
ya GBP baada ya bandari ya Tanga
kuanza kushusha shehena ya mafuta na kampuni ya GBP kuanza kushusha tani 20,500.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EURA), Felix Ngamlagosi, akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya bandari ya Tanga kuanza kushusha mafuta baada ya kampuni uagiziaji wa mafuta ya GBP kuanza kushusha tani 20,500.
No comments:
Post a Comment