Jengo la ghorofa sita limeporomoka Nairobi na kusababisha vifo
Nairobi
Nchini Kenya mvua zinazoendelea kunyesha wiki hii zimesababisha vifo
ambapo mpaka sasa imeripotiwa watu 15 kufariki na kati ya hao 7 wamefariki baada ya jengo la ghorofa sita kuporomoka usiku wa April 29 2016 eneo la Huruma na zaidi ya watu 120 wameokolewa.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment