Mtu Mrefu Kuliko Wote Duniani Awasili Mauritius
Sultan alilakiwa na umati katika kisiwa hicho cha bahari ya Hindi, kwa mujibu wa taarifa zilizowekwa kwenye ukusara wa facebook wa mtandao wa habari wa nchi hiyo.
Sultan mara ya kwanza alitajwa kuwa mtu mrefu zaidi duniani mwaka 2009 wakati alitimia urefu wa futi 8 na inchi moja mwaka 2009.
Akiongea wakati aliingia kwenye rekodi ya kitabu cha Guinness World Records alismea," Singetarajia ningekuwa kwenye kitabu hicho, nikuwa na ndoto lakini bado ulikuwa ni mshangao mkubwa.
Sultani alilakiwa na maelfu ya Raia waliofika kumuona na kusema kuwa amefarijika sana kwa mapokezi hayo alodai kuwa si chenginecho bali ni watu kutaka kumuona yeye hasa ikizingatiwa amekuwa gumzo duniani kote.
No comments:
Post a Comment