Monday, April 4, 2016

DARAJA LA BOMBO TANGA HATARINI KUANGUKA



Daraja la Bombo njia ya Raskazone Tanga likiwa limebomoka kufuatia mvua kubwa ilinyesha usiku wa jana  na kuhatarisha usalama wa watumiaji wa vyombo vya moto na wapiti kwa miguu.
Daraja hilo ambalo ndio njia ielekeayo hospitali ya Mkoa ya Bombo, Mkonge hostali pamoja na nyumba za viongozi wakubwa wa Serikali limekuwa hatarishi .






No comments:

Post a Comment