Mfanyabiashara wa kuuza tende
barabara ya 12 Ngamiani Tanga, Mohammed Said, akiwauzia wateja, mwezi huu Mtukufuwa Ramadhani tende
inatajwa kuwa moja ya Sunna kubwa ya kifungulio cha Saumu, Kilo moja ya tende
ilikuwa ikiuzwa 5,000 na zile za pakiti zilikuwa zikiuzwa 3,000.
No comments:
Post a Comment