SOKO LA FERI LATAKIWA KUTUMIA GESI
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akielkea kwenye soko la samaki la Feri akitokea
ofisini kwake Magogoni jijini Dar es salaam kukagua hali ya soko hilo
Machi 22, 2016. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond
Mushi.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua eneo la kukaangia samaki kwenye soko la
samaki Feri la jijini Dar es salaam Machi 22, 2016, Kushoto kwake ni
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mama Lishe wakati alipotembelea
soko la samaki la Feri jijini Dar es salaam Machi 22, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia Mama Lishe wakati alipotembelea
soko la samaki la Feri jijini Dar es salaam Machi 22, 2016.
No comments:
Post a Comment