TANGA KUMEKUCHA
Friday, April 8, 2016
BANDARINI SAHARE, TANGA
Kijana mkazi wa Makorora Tanga, Ali Juma, akipaa dagaa mchele alonunua kwa wavuvi bandari ya Sahare Tanga jana. Ndoo moja ya dagaa mcheze ilikuwa ikiuzwa 10,000, na kisadolini kimoja kilikuwa kikiuzwa kwa 2,000.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment