WAZIRI MBARAWA ARIDHISHWA NA UJENZI WA FLOW METER.
Meneja wa mradi wa Ujenzi wa Flow Meter
ya Kigamboni Eng. Mary Mhayaya akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa alipokagua maendeleo ya
ujenzi huo.
Muonekano wa Flow Meter mpya ya Kigamboni katika hatua za mwisho za ujenzi wake.
Muonekano wa Daraja la Kigamboni mara baada ya ujenzi wake kukamilika.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (katikati) akijadiliana jambo na Mkuu
wa Kivuko cha Magogoni (kushoto) na Nahodha wa kivuko hicho (kulia)
wakati alipokikagua.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akipata maelekezo kwa Mkurugenzi
Msaidizi Barabara za Mijini Eng. Hussein Mativila (kushoto) alipokagua
Daraja la Kigamboni.
Kwa habari, matukio na michezo ni hapahapa Tangakumekuchablog
No comments:
Post a Comment