NWANKO KANU ASHIRIKI MAFUNZO NA WATOTO WA KITUO CHA JAKAYA KIKWETE
Mchezaji nyota wa zamani wa timu
ya taifa ya Naijeria, Nwanko Kanu ambaye kwa sasa ni balozi wa makampuni
ya StarTimes barani Afrika akiwaelekeza watoto katika mafunzo ya mpira
wa miguu wakati alipotembelea katika kituo cha michezo ya Jakaya Kikwete
kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam.
Mchezaji nyota wa zamani wa timu
ya taifa ya Naijeria, Nwanko Kanu ambaye kwa sasa ni balozi wa makampuni
ya StarTimes barani Afrika akiwaelekeza watoto katika mafunzo ya mpira
wa miguu wakati alipotembelea katika kituo cha michezo ya Jakaya Kikwete
kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam.
Mchezaji nyota wa zamani wa timu
ya taifa ya Naijeria, Nwanko Kanu ambaye kwa sasa ni balozi wa makampuni
ya StarTimes barani Afrika akizungumza na watoto mara baada ya mafunzo
ya mpira wa miguu wakati alipotembelea katika kituo cha michezo ya
Jakaya Kikwete kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam.
Mchezaji nyota wa zamani wa timu
ya taifa ya Naijeria, Nwanko Kanu ambaye kwa sasa ni balozi wa makampuni
ya StarTimes barani Afrika akizungumza na watoto mara baada ya mafunzo
ya mpira wa miguu wakati alipotembelea katika kituo cha michezo ya
Jakaya Kikwete kilichopo Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment