Wednesday, March 4, 2015

MVUA YA MAWE KAHAMA YALETA MAAFA PIA KWA WANYAMA



Mbuzi wakiwa wamepoteza maisha baada ya kupigwa na mvua ya mawe.
WATU 38 wamefariki Dunia huku wengine zaidi ya 60 wakijeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana  upepo  mkali kunyesha katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka Wilayani Kahama Mkoani shinyanga.

No comments:

Post a Comment