Kingine usichokijua kuhusu maisha ya David Beckham…
Hilo limekuwa tofauti kidogo kwa mkongwe wa soka duniani David Beckham ambaye pia ni mwanamitindo baada ya kusema amekuwa akimtegemea mke wake Victoria kwa asilimia tisini na tisa katika uvaaji wake.
Beckam ambaye ni baba wa watoto watatu
pia amesema yeye mara zote amekua akivutiwa na uhalisia wa maisha ya
watoto wake ambao wamekuwa wakimvutia kwa kiasi kikubwa.
Mbali na Brooklyn amesema pia watoto wake wengine Romeo pamoja na Cruz nao wamekuwa wakimvutia wakati wote.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment