Umeskia hii ya mama kujifungua mara mbili ndani ya mwaka mmoja?
Sarah Ward mwenye umri wa miaka 29 alipata mapacha watatu ikiwa ni mwezi mmoja tangu ajifungue mtoto wake wa kwanza wa kiume,
Mwanamke huyo alijifungua mapacha hao
watatu ambao walizaliwa kabla ya muda huku mtoto wake wa kwanza akiwa
tayari na miezi nane.
Sarah amesema anashukuru kupata watoto
hao na amekua akitumia nepi zaidi ya 30 kwa siku kwa ajili ya
kuwabadilisha watoto wake lakini haoni kama ni gharama kutokana na
furaha aliyonayo.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment