Tulizipokea taarifa za kifo cha Abdul Bonge wa Tiptop Connection ila hiki ndio chanzo cha kifo
Jioni ya March 28 2015 ndio taarifa
zilianza kusambaa katika mitandao lakini chanzo cha kifo cha ghafla cha Abdul hakikuwa
kimesemwa lakini mdogo wake ambae ni Babu Tale amewka bayana.
na kusema >>> ‘Kuna mshkaji wetu mmoja alikua anagombana na
mke wake jirani yetu, wakamfata hapa Abdul aende… mara ya kwanza na ya
pili akakataa, mara ya tatu akasema ngoja aende’
Hutopitwa na habari inayonifikia na niko tayari kukutumia muda wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment