Baba wa Yemi Alade alifariki January 16, 2015, sasa wanapanga kufanya mazishi yake!!
Huenda ulipata maswali kwamba kwanini mazishi ya wazazi wa mastaa hao yalicheleweshwa?
J.A. Alade ni baba wa msanii Yemi Alade
toka Nigeria, mzee huyo alifariki January 16 2015 na taarifa
iliyotolewa ni kwamba mazishi ya mzee huyo yatafayika May 7 mwaka huu.
Yemi Alade
alisema baada ya kumaliza ziara zake Ulaya atarudi na kuanza maandalizi
ya kumzika baba yake lakini hakuweza kueleza ni wapi mazishi hayo
yatafanyika.
No comments:
Post a Comment