Bobi Wine safari hii kaimba Kiswahili wimbo wote mtu wangu- ‘Paradiso’
Time ya Star kutoka Uganda ni sasa, Bobi Wine leo ameachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Paradiso’ .. Hapa anazungumzia umuhimu wa wazazi mtu wangu.
Afrika Mashariki inatambulishwa na lugha
ya Kiswahili, lakini mara nyingi tunaona wasanii wa Uganda wakiimba
lugha yao zaidi kuliko Kiswahili, time hii ‘Paradiso’ imeimbwa kwa Kiswahili mtu wangu.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment