Ajali ya ndege Ufaransa! imehusisha wanamichezo wa Olympiki…
Wanamichezo
watatu walioshiriki mashindano ya Olympiki mwaka 2012 London, ni
miongoni mwa watu 10 waliofariki katika ajali ya helkopta nchini
Argentina wakati walipokuwa wakitengeneza kipindi cha Tv Show
kinachoitwa ‘Dropped’.
Wanamichezo hao Florance Arthaud ambaye alishinda katika mchezo wa kupiga makasia,Camille Muffat alishinda medali ya dhahabu kwa upande wa mchezo wa kuogelea kwa wanawake na bondia wa ngumi Alexis Vastine aliyeshinda medali ya fedha.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment