Matokeo ya Arsenal VS Everton Ligi kuu EPL jana, Chelsea pia yako hapa…
Kwa upande mwingine Chelsea imetwaa taji la kombe la Capital one katika uwanja wa Wimbley kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya TottenHam mabao.
John Terry alifunga goli la kwanza dakika ya 45 baada ya Kyle Walker baada ya kubabatizwa na shuti la Diego Costa dakika ya 56.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia m, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment