Wafanyabiashara Mkoani Tanga wakimsikiliza Mwakilishi wa
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Silver Kiondo, kuzungumzia changamoto
wanazokabiliana nazo zikiwemo matumizi ya mashine ya EFD na ongezeko la asilimia mia ya kodi ya Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA) kikao kilichoandaliwa na Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania
(JWT) Mkoa wa Tanga uliofanyika leo Tanga.





No comments:
Post a Comment