Thursday, March 5, 2015

UBUNIFU WA CHABO KWA WANAFUNZI DARASANI

Wale wa kupiga chabo darasani, wenzenu wako hapa na ubunifu wao mkali.

chabo 2
Ni tabia ambayo ipo kwenye kila shule, hata kama kuna Wanafunzi wanaongoza kwa kuelewa, hawakosekani wachache kwenye darasa ambao hupiga chabo sana kipindi cha mitihani.
 Jinsi hawa wengine walivyoongeza ubunifu kwenye upigaji wa chabo, tazama uniambie nani kaongoza?

No comments:

Post a Comment