List ya mastaa 10 wa soka wanaomiliki fedha nyingi zaidi duniani…
Kwa mujibu wa mtandao huo Ronaldo ana utajiri wa pauni milioni 210 akimuacha nyuma mpinzani wake anayeshikilia nafasi ya pili Lionel Messi mwemye utajiri wa pauni 200.
Utajiri wa Ronaldo si tu unapatikana uwanjani bali pia amekuwa akipata dili la kuwa balozi wa kampuni mbalimbali kama Toyota, Sumsung, Nike na Herbalife ambazo zimekuwa zikifanya naye kazi ya kuzitangaza mara kwa mara.
1. Cristiano Ronaldo
Anatokea Real Madrid: Huyu ndiye mchezaji bora wa dunia na ameendelea kushikilia rekodi yake ya nafasi ya kwanza, ana utajiri wa Euro milioni 210
3.Neymar Da Silva Santos Jr
4. Zlatan Ibrahimovic
5.Wyne Rooney
6.Ricardo Kaka
7. Samuel Etoo
- Raul Gonzalez
10.Frank Lampard
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment