Kisa cha story hii kilianzia binti huyu kupewa karanga kwenye mfuko ndani ya ndege…
Cho Hyun-ah
Kuna utofauti kwenye aina ya
usafiri, uko usafiri wa umma ambao kila mtu anajilipia na anasafiri na
upo usafiri binafsi, ukiwa kwenye usafiri wako binafsi unaenjoy tu
vizuri na kujiachia, lakini ukiwa kwenye usafiri wa watu wengi inabidi
kidogo uwe mpole.
Mtoto wa Bosi wa Shirika la ndege Korea
amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuvunja sheria za
ushafirishaji wa anga baada ya kuamrisha ndege kusimamisha safari ili
wahudumu wa kwenye ndege hiyo washushe.
Mtoto huyo alikasirishwa na kitendo cha wahudumu hao kumpatia macadamia nuts ambazo ziko kama karanga kwenye mfuko badala ya kuwekewa kwenye bakuli.
Mtoto huyo alikasirishwa na kitendo cha wahudumu hao kumpatia macadamia nuts ambazo ziko kama karanga kwenye mfuko badala ya kuwekewa kwenye bakuli.
Mtoto huyo Cho Hyun-ah ambaye umri wake ni miaka 40 aliomba msamaha baada ya hukumu hiyo lakini mahakama haikumpunguzia adhabu.
Cho Yang-ho, Boss wa Shirika hilo la ndege ambaye ni baba wa mwanamke huyo.
Baba yake Cho Yang-ho
naye alionekana kukasirishwa na kitendo hicho, huku watu wa Korea nao
kukosoa zaidi tabia za watu hao wenye uwezo kifedha kuonekana mara
nyingi wako juu ya sheria za nchi.
Msichana aliwahi kuwa
Ndege hiyo ilikuwa ikitokea New York Marekani kwenda Seoul, Korea Kusini.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment