Mwimbaji gani wa Afrika Mashariki kanunua hii Audi? pichaz iko hapa
Mmiliki mwingine wa headline hizi kwa kitambo ni Jose Chameleone ambae amechukua headline kwenye awamu hii tena kwa kumiliki gari aina ya Audi ambazo zimekua zikitengenezwa na Mjerumani toka miaka hiyo ya 1932.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu , niko tayari kukutumia wakati www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment