Picha na taarifa ya mtu wa Nicki Minaj aliyeuwawa kwa visu, huyu mwingine kachomwa pia.
Polisi wamesema aliyefariki ni De’Von Pickett, 29, au Day Day anaeonekana kushoto kwenye picha Eric Parker, 27 mwingine aliyejeruhiwa anaendelea vizuri na matibabu.
Kilichotokea ni wao kuchomwa visu kwenye ugomvi uliotokea wakiwa Baa usiku wa Jumanne na rafiki zao ambapo baada ya kuchomwa visu walikimbizwa Hospitali lakini muda mfupi baadae Day Day akawa amefariki.
No comments:
Post a Comment