Ni utaratibu wa jamii hii kukata vidole wakati wakiwa wanaomboleza msiba…
Hii imeshtua wengi walioisikia, kwa wale
waliobahatika kuitembelea basi ni mashuhuda kwamba watu wengi wa kutoka
jamii hiyo wamekatwa vidole na ndugu yoyote wa marehemu anakatwa
vidole, umri sio kitu kinachoangaliwa sana hivyo hata watoto pia
wanaguswa na hii moja kwa moja.
Hapa vidole vinakatwa kwa shoka, vipande
vilivyokatwa vinachomwa moto halafu majivu yanahifadhiwa au kuzikwa
pamoja na mwili wa marehemu.
Jitihada zimeanza kufanywa ili kuzuia utamaduni huo ambao madhara yake yameanza kuonekana kwa sasaNi halali yako kupata kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment