Kama ukipita mtaani leo FEB 12 kumbuka kucheki hii filamu mpya imeingia sokoni leo
Kwa wale wapenzi wa movie za kibongo hii
ni movie mpya ambayo imeingia rasmi sokoni leo February 12, unaambiwa
ndani kuna mastaa kama Hemed Suleiman, Latifa Idabu, Haji Salum aka Mboto, Sadiki Manwila na Sabrina Omari.
Hii inazungumzia maisha ya Mtanzania wa
kawaida, hasa kijana akiwa kwenye changamoto za maisha, kama umemis
kucheka pia basi pitia hii, najua utaenjoy na ukali wa Mboto mwenyewe humu ndani mtu wangu.
No comments:
Post a Comment