Friday, February 6, 2015

SEKESEKE LA MSANII PIPI

Soma  muendelezo wa ile ishu ya jana inayomhusu msanii Pipi.

pipiLeo February 6 ni muendelezo wa ile ya ishu ya jana ambayo inahusu taarifa zilizosambaa kuwa jamaa anayeitwa Lucas ambaye ilisemekana kuwa ni mume wa msanii Pipi kuweka bondi gari la familia na kupewa kiasi cha pesa alichohitaji, siku alipoenda kulichukua mama wa msanii Pipi alilikamata kwa madai kuwa limeibiwa.
Soudy Brown amezungumza na Pipi ambaye amekubali kuwa Lucas ni mume wake lakini hamfahamu jamaa anayeitwa Edson wala hajui chochote juu ya ishu yakuwekwa bondi kitu chochote.

No comments:

Post a Comment