Uliiona hii? mchekeshaji wa Kenya anakwambia matumizi ya suti, na mke akikukosea unamfanyaje eti?
Kama ndio kwanza unamfahamu leo, akielezea matumizi ya suti ambapo
pamoja na ishu nyingine anakwambia jinsi ya kumuadhibu mpenzi wako
anapokukosea.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment