BASI LAGONGA MKOKOTENI WA NG'OMBE SIMIYU LAUA ,34 WANUSURIKA KUFA

Basi la
Simiyu Express linalofanya safari zake Dar - Simiyu kila siku limegonga mkokoteni wa ngombe na kuua mtu mmoja na
ng'ombe wake eneo la
kijiji cha Salunda barabara kuu iendayo Shinyanga.
.
Baadhi ya wasamaria wema wakikokota mkokoteni uliosababisha ajali hiyo na kupoteza uhai wa dereva wake pamoja na Ngo'mbe 2.
Baadhi ya mashuhuda wakiangalia basi hilo
Ngo'mbe akiwa amekufa
Baada ya basi kutolewa kichakani, muonekano wake lilivyopata ajali







No comments:
Post a Comment