Katika zile zilizoripotiwa kutoka Uganda ipo hii ya wanafunzi Chuo cha Makerere.
Maandamano ambayo yalianza juzi ambapo
siku ya mwisho ya kulipa ada hiyo ni February 17, hata hivyo wanafunzi
hao walionekana kutoridhishwa na maamuzi hayo na kutaka kulipa kama
walivyokuwa wakilipa siku za nyuma.
No comments:
Post a Comment