Monday, March 9, 2015

OSCAR AGOMA KULA GEREZANI KWA HOFU YA KUWEKEWA SUMU NA WAFUNGWA WENZAKE

Hiki ndicho kinachomtia hofu Oscar Pistorius gerezani kwa sasa

oSCARKiongozi wa gereza la Death Island, South Africa alikofungwa mwanariadha mlemavu Oscar Pistorius lilimpa uhuru kwenye baadhi ya vitu mwanariadha huyo, ikiwemo kuwasiliana kwa simu, kutembelewa na wageni na hata kusikiliza redio, baadhi ya wafungwa waliona kama anapendelewa.
Taarifa kutoka gerezani zinahusu Oscar Pistorius kugoma kula chakula cha gerezani kutokana na hofu kwamba wafungwa wenzake watamuwekea sumu.
Oscar ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitano kwa kosa na kumuua bila kukusudia mpenzi wake Reeva Steenkamp amegoma kuendelea kula chakula cha gerezani ambapo mgomo huo alioufanya umemfanya mwili wake kudhoofika.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment