Thursday, March 12, 2015

TAARIFA TATA

Chopa Mchopanga kujiua kisa Yanga

s11Picha ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonesha muigizaji wa Bongo Movie, Chopa Mchopanga akiwa amevalia jezi ya timu ya Yanga, mkononi ameshika vidonge vingi na chupa ya bia, watu walipoona hiyo wakaandika kwamba jamaa anataka kujiua kutokana na timu yake kutofanya vizuri.
MCHOPANGA789Mwandishi  alimtafuta Mchopanga ambaye amesema hiyo picha ilitolewa kutoka kwenye movie mpya itakayotoka hivi karibuni, sio kweli kwamba ana machungu na timu yake kufungwa.
Jamaa amesema kuwa ana mapenzi na timu ya Yanga lakini kufanya vibaya kwa timu hiyo hakumfanyi afanye uamuzi wa kujiua kwa kiasi hicho japo ni kweli ana mapenzi nayo.
Hakuna Stori itakayokupita ,niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment