UKIWA MBUGANI HATA UKIWA NDANI YA GARI BADO HAUKO SALAMA
imeniogopesha sana, iwafikie wote wanaokwenda mbuga za Wanyama na kujiamini ndani ya magari.
Tumekua
na tabia ya kujiamini sana tunapokwenda kwenye mbuga za Wanyama tukiwa
ndani ya magari, hii imenifanya nijue kumbe hata kama tuko ndani
ya magari kuna hatari ya Wanyama kutudhuru kama hatuko makini.
No comments:
Post a Comment