Kwenye zile zilizoripotiwa leo Kenya ipo ya mauaji na pamoja na ubakaji wa watoto…
Taarifa zinasema kuwa mwanaume huyo Devid Waweru alifika nyumbani kwake usiku akiwa amelewa na kumkuta mtoto wake amelala, akamuamsha na kumbaka na kumuambukiza maradhi hayo.
Katika tukio lingine mwanaume mmoja
amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wake na
kisha kumuua baada ya kushinda nae Kanisani siku moja kabla ya
kumfanyia kitendo hicho.
No comments:
Post a Comment