Polisi avua nguo kituoni ataka arejeshwe kazini
Afisa huyo anadaiwa kuwa aliacha kazi mwenyewemiezi 6 iliyopita kwa madhumuni ya ''kuendeleza kazi ya bwana'' ama kuhubiri injili, hata hivyo 'kazi'' haikushika kasi ipasavyo na mara akajipata anadaiwa kope si zake.
Lakini akiwa humo alianza kuimba na kuomba kwa sauti ya juu akisema kuwa ni mwenyezi mungu tu ndiye atakayemuondoa korokoroni.
Umati wa watu ulikusanyika kutizama kihoja hicho ambacho kiliwaacha wengi waliomfahamu afande huyo katika enzi zake wasijue kilichomsibu.
BBC
No comments:
Post a Comment